Wananchi wa Kwembe Mloganzila wadai walipwe fidia ili wapishe ujenzi wa Chuo cha Tiba Muhimbili
Kushoto anayeonekana ni Cosmas Mbepera Katibu wa Kamati ya wananchi ya kudai fidia ya ardhi ya Kwembe Mloganzila, wa pili kushoto ni Fredrick Sichone Mwenyekiti wa Kamati hiyo ma anayezungumza ni Mohamed Jawewa ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo wakizungumza na waandishi wa Habari hawapo pichani katika ukumbi wa Habari Maelezo. Wananchi hao wanadai Fidia ili waweze kupisha ujenzi wa Chuo Cha Muhimbili
No comments:
Post a Comment