Tairi zinawaka moto katika njia moja kuu Zanzibar kufuatia ghasia zilizosababishwa na wanaharakati wa Jumuiya ya Uamsho |
Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa
pili wa rais Mohamed Aboud, ametoa taarifa kuhusiana na ghasia akisema
walosababisha uharibifu wa mali watachukuliwa hatua
Hata hivyo kwa mujibu wa VOA inaripoti kwamba kuna vizuizi katika njia muhimu za kisiwa hicho na watu wamebaki nyumbani, na haijulikana hali itakuwa vipi siku ya Jumatatu watu wakirudi kazini
Ghasia zilizuka Jumamosi baada ya wanaharakati wa kundi hilo
kutaka kushambulia makao makuu ya polisi kufwatia kukamatwa kwa
imam wa msikiti wa Biziredi ambaye
ni mmoja kati ya wa viongozi wa Uamsho, Sheik Mussa AliJuma.
Picha na stori ni kwa hisani ya VOA
No comments:
Post a Comment