TANGAZA NASI LEO 0712709630,0756631636 BARUA PEPE gmkojera@gmail.com

Monday 30 July 2012

Tujadili pamoja

Jamani, kila siku fukuza fukuza ya wafanyabiashara wadogo sehemu mbalimbali za miji, je waende wapi? ama warudi mtaani kuwa vibaka? wengine wanategemea kuuza bidhaa zao ili wapate fedha kidogo kujikimu na maisha lakini hawana raha ya maisha kutokana na mgambo wa jiji kuwafuatilia kila mara

No comments:

Post a Comment