
Chama cha soka nchini Uingereza, FA hatimaye kimeamua kumfungia mechi 10 mshambuliaji wa Liverpool Luis Suarez kwa kitendo chake cha kumng'ata beki wa Chelsea Branislav Ivanovic katika mchezo wa jumapili baina ya Liverpool na Chelsea,mchezo uliomalizika kwa sare ya 2-2.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 baada ya kumng'ata beki huyo wa Chelsea aliomba msamaha mashabiki siku ya Jumatatu.
An FA statement read: "A three-person independent regulatory commission today upheld the FA's claim that a suspension of three matches was clearly insufficient and the player will serve a further seven first-team matches in addition to the standard three. The suspension begins with immediate effect.
"The Liverpool forward had accepted a charge of violent conduct but had denied the FA's claim that the standard three-match sanction was insufficient for the offence.
"The incident was not seen by the match officials and has therefore been retrospectively reviewed.
"Suarez has until midday on Friday 26 April to appeal [against] the additional suspension, above the standard three matches."
Source:BBC News
No comments:
Post a Comment