Una uhusiano na MKULIMA yeyote MWANAMKE mwenye umri wa kuanzia miaka 18, mtanzania, anayelima mazao ya chakula..??
Ni rahisi sana.. Bofya –https://www.surveymonkey.com/
Jaza nafasi zote 19 kisha bofya SUBMIT.. Hivyo tu..
Jopo la majaji litakaa na kutoa tano bora ambapo mmoja kati yao atajishindia vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tshs. Milioni 5.
UNANGOJA NINI….???
Wekeza kwa Wakulima Wadogo Wanawake. INALIPA.
No comments:
Post a Comment