TANGAZA NASI LEO 0712709630,0756631636 BARUA PEPE gmkojera@gmail.com

Tuesday 5 November 2013

Unahusiano na mkulima yeyote mwanamke?

Una uhusiano na MKULIMA yeyote MWANAMKE mwenye umri wa kuanzia miaka 18, mtanzania, anayelima mazao ya chakula..??

Kama jibu ni NDIO, hii ni fursa kwako kumsaidia, Mpe ZAWADI ya mwaka ya vifaa vya KILIMO vyenye Thamani ya Tshs. MILIONI TANO. Ndio !!! Tshs. 5,000,000/=

Ni rahisi sana.. Bofya –https://www.surveymonkey.com/s/growtanzania
Jaza nafasi zote 19 kisha bofya SUBMIT.. Hivyo tu..

Jopo la majaji litakaa na kutoa tano bora ambapo mmoja kati yao atajishindia vifaa vya kilimo vyenye thamani ya Tshs. Milioni 5.

UNANGOJA NINI….???
Wekeza kwa Wakulima Wadogo Wanawake. INALIPA.

No comments:

Post a Comment