TANGAZA NASI LEO 0712709630,0756631636 BARUA PEPE gmkojera@gmail.com

Saturday 23 November 2013

Wahariri, waandishi waelimishwa kuhusu Vifo vya Mama na mtoto

Rais wa UTP Kenny Simbaya akiwakilisha mada kwenye semina ya waandishi na wahariri wa habari kuhusu vifo vya mama na mtoto .
Washiriki wa Semina na wawezeshaji
Baadhi ya wahariri na waandishi wa habari wakifuatilia kwa makini

No comments:

Post a Comment