Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na kumkaribisha Kaimu Kamishna Jenerali wa TRA, Risherd Badei,
wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Feb 18, 2014 kwa
mazungumzo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza
na Kaimu Kamishna Jenerali wa TRA, Risherd Badei, wakati alipofika Ofisini
kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo kwa mazungumzo.
No comments:
Post a Comment