Siku hizi nyumba zikijengwa na ukaiacha kama gofu kwa muda mrefu zinageuzwa kuwa jalala la kutupia takataka za kila aina, na vijana wavuta bangi ndio hutumia kujificha na kuvuta. Nyumba unayoiona ni moja ya nyumba katika mtaa ninaokaa ambayo inaonekana imetekelezwa na hivyo ukiingia kwenye vyumba utakutana na takataka. Watu wamegeuza ndio jalala.
No comments:
Post a Comment