Straika wa Nigeria Yakubu ameamua kuiacha timu ya mpira ya Blackburn baada ya kujiunga na Club ya Guangzhou ya China.
Mchezaji huyo ambaye alishinda magoli 17 akiwa na timu ya Blackburn katika msimu uliopita wa ligi Ulaya tayari wameshajadili mpango mzima wa kuhamia katika Club ya Guangzhou.
Mwezi Mei
mwaka huu Yakubu alikuwa akitafuta nafasi
baada ya timu yake ya kushuka daraja.
Ripoti ya
dili hilo haijawekwa wazi ingawa inadaiwa kuwa atalipwa dola milioni 9.
No comments:
Post a Comment