TANGAZA NASI LEO 0712709630,0756631636 BARUA PEPE gmkojera@gmail.com

Tuesday 18 September 2012

Maadhimisho ya miaka 75 ya Shirika la Moyo safi wa Maria yalivyofana Mgolole Morogoro

Mama Mkuu wa Shirika la Moyo Safi wa Maria wa kwanza mstari wa mbele Sista Flora Chuma akiwa na Masista wenzake katika maadhimisho ya miaka 75 ya Shirika hilo yaliyofanyika Mgolole Morogoro hivi karibuni

Masista wadogo wakiimba


Sista Flora Chuma akiwasha mshumaa na Mshauri wake wa kwanza Sista Julieth Makonde katika kaburi la mwasisi wa Shirika hilo hayati Askofu Bernad Hilhorst












No comments:

Post a Comment