Akamatwa akifanya mapenzi na Ambulensi
Raia mmoja wa Uingereza akamatwa akifanya
mapenzi na Ambulensi.. hii ni Baada ya ya Bwana Callum Ward mwenye umri
wa miaka 25 kujipasha mtotisha kwa kula njugu karanga. Baada ya
kepelekwa mahakamani bwana Callum Ward atozwa faini ya Pauni 60(£60) na
kepwa adhabu ya kufanya kazi katika eneo la umma bure kwa miezi sita.
Na huko Scotland sikitambo sana bwana mmoja
alikamatwa uchochoroni akifanya mapenzi na baiskeli yake. Hata hivyo
magazeti ya Uingereza likiwemo gazeti la Telegraph hayakueleza alikuwa
akifanya mapenzi vipi na baiskeli hiyo.
Chanzo: BBC Swahili
No comments:
Post a Comment