Uhuru Kenyatta ameapishwa leo kama rais wa nne wa
Jamuhuri ya Kenya kufuatia ushindi wake dhidi ya mpinzani wake Raila
Odinga katika uchaguzi uliofanyika Machi nne.
Maelfu ya wakenya walikusanyika katika uwanja wa michezo wa Kasarani viungani mwa mji wa Nairobi kushuhudia historia ambapo Kenyatta ameapishwa chini ya katiba mpya.
No comments:
Post a Comment