TANGAZA NASI LEO 0712709630,0756631636 BARUA PEPE gmkojera@gmail.com

Monday 8 July 2013

Usiku wa matumaini ulivyofana kwa masumbwi Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam


Msanii wa bongo movie Jakline wolper (mwenye kaptula ya bluu) akipambana na Mhe. Halima Mdee kwenye usiku wa Matumaini katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam

Bondia Thomas Mashari (mwenye kaptula nyeupe) akipambana na Bondia kutoka Kenya. Mshindi katika pambano hilo alikuwa ni Thomas Mashari

Bondia Francis Miyeyusho wa Tanzania akipambana na Shadrack Kutoka Kenya

No comments:

Post a Comment