TANGAZA NASI LEO 0712709630,0756631636 BARUA PEPE gmkojera@gmail.com

Monday 30 September 2013

Mama Salma Kikwete apewa uraia wa hiari

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea hati ya uraia wa hiari wa Jimbo la Nebraska nchini Marekani iliyotolewa na Secretary of State wa Jimbo hilo Bwana John Gale. Anayekabidhi hati hiyo kwa Mama Salma ni Dkt. Marjorie Kastelnik, Dean, College of Education and Human sciences wa Chuo Kikuu cha Nebraska nchini Marekani


No comments:

Post a Comment