Meneja Masoko na Mauzo wa kampuni ya Push Mobile
Media Limited, Rugambo Rodney (kushoto) akikabidhi funguo ya gari kwa mmoja wa washindi
wawili wa promosheni ya fiesta, Godfrey Michael (kulia), mkazi wa Keko
Magulumbasi jijini Dar es Salaam. Michael alishinda Vitz yenye thamani ya sh
milioni 8.5. (Na Mpiga Picha wetu). |
No comments:
Post a Comment