Mke wa Rais Mama Salma
Kikwete akipokewa na Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa CEO Clubs
Network,Tareq Ahmed Nizami, mwandaaji mwenza wa Mkutano wa
Wanawake kutoka Afrika, Mashariki ya Kati na Asia, 'The Africa -Middle
East-Asia' unaofanyika katika Hoteli ya Atlantis The Palm, huko Dubai
katika Jamhuri ya Falme za Kiarabu (UAE). Mwandaaji
mwingine wa mkutano huo ni Kituo cha Maendeleo ya Kiuchumi na Uongozi
(CELD).
|
No comments:
Post a Comment