YATIMIZA MABAO 99 MSIMU MMOJA ENGLAND.
MANCHESTER
City imeifumua mabao 5-0 Blackburn katika mchezo wa marudiano wa Kombe
la FA Raundi ya Nne jana usiku England Uwanja wa Etihad. Mabao
ya City yamefungwa na Alvaro Negredo mawili dakika za 45, 47, Edin
Dzeko mawili pia dakika za 67 na 79 na Sergio Aguero dakika ya 73.
City
sasa imefikisha jumla ya mabao 99 iliyofungwa msimu huu na sasa watu
wanasubiri kwa hamu kuona nani atafungwa bao la 100 katika mchezo ujao.
Chanzo: Bin Zubeiry
No comments:
Post a Comment