Makamu
Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na Waziri na Manaibu Waziri waliokuwa wakiapisha Ikulu Dar es
Salaam, leo wakati alipokuwa akiwasili katika hafla hiyo.
Rais
Jakaya Kikwete, akimuapisha Ummy Mwalimu, kuwa Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu
wa Rais, wakati wa hafla fupi ya kuwaapisha Waziri na Manaibu Waziri iliyofanyika
Ikulu jijini Dar es Salaam, leo.
Rais
Jakaya Kikwete, akimuapisha George Boniface Tuguluvala Simbachawene, kuwa Naibu
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,
wakati wa hafla fupi ya kuwaapisha Waziri na Manaibu Waziri iliyofanyika
Ikulu jijini Dar es Salaam, leo.
Rais
Jakaya Kikwete, akimuapisha Kaika Saning’o Telele, kuwa Naibu Waziri wa Maendeleo
ya Mifugo na Uvuvi, wakati wa hafla fupi ya kuwaapisha Waziri na Manaibu Waziri
iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, leo.
Rais
Jakaya Kikwete, akimuapisha Eng. Dr. Binilith Satano Mahenge, kuwa Waziri wa
Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) wakati wa hafla fupi ya kuwaapisha
Waziri na Manaibu Waziri iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, leo.
Rais
Jakaya Kikwete, Makamu wake Dkt. Mohammed Gharib Bilal, na Waziri Mkuu, Mizengo
Pinda, wakia katika picha ya pamoja na Waziri na Manaibu Waziri walioapishwa
katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam, leo (Picha Sufianmafoto blog)
No comments:
Post a Comment