Kundi la vijana Koko Beach wakionyesha mchezo wa kamari ili kuwavutia watu
Kundi la Vijana katika eneo la Koko Beach wakiwa na meza yao kwa ajili ya kueendesha mchezo wa kamari, mchezo huo ni hatari kama huujui kwasababu umeshaliza wengi sio tu kwa upande wa Tanzania bali pia kuna watu duniani wamejinyonga kwasababu ya mchezo wa kamari.
No comments:
Post a Comment