Wananchi wa Kigamboni wateta na Mbunge wao kuhusu upimaji viwanja
Mbunge wa Kigamboni Faustine Ndungulile aliyesimama akiwa amewageukia wananchi wa Kigamboni kuzungumza nao kuhusu malalamiko yao dhidi ya kutakiwa kupima viwanja vyao ikiwa ni mpango wa serikali wa kutaka kujenga Kigamboni ili hatimaye kuwa mji mpya
Wananchi wa Kigamboni wakiwa wamekaa chini kusikiliza kwa makini maelezo wanayopewa na Mbunge wao Faustine Ndungulile juu ya wananchi kuruhusu upimaji wa viwanja ili kujenga mji huo wa Kigamboni
No comments:
Post a Comment