Mshindi wa Pili wa droo kubwa ya mwezi ya promosheni ya M-PESA Revocatus Mkama akihesabu pesa zake mara baada ya kukabidhiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza katikati. Kushoto ni Ofisa Mkuu wa Mahusiano na Mauzo kwa wateja wakubwa Mwamvita Makamba
No comments:
Post a Comment