Hapo unapoona ni nyuma imebomoka ambapo kuna mtoto mmoja alitolewa jana akiwa tayari ameshakufa baada ya nyumba kumbomokea, mtoto mwenzake apotezwa na maji haonekani na mama wa mtoto amevunjia mguu na kukimbizwa Hospitali ya Taifa Muhimbili |
Wakazi wa Mtaa wa Darajani wakishangaa nyumba zilizobomolewa na maji |
Wakazi wa Mtaa wa Darajani wakishangaa |
Hii ni nyumba iliyokumbwa na mafuriko |
Hii nyumba imebomoka kwa mbele |
Kundi la Vijana wa Mtaa wa Darajani Kijichi wakiwa wameokoa maiti ya mtoto wa darasa la saba aliyepoteza toka jana |
Maiti ya mtoto wa miaka 7 iliyookolewa kutoka kwenye maji |
Kundi la watu wa Mtaa wa Darajani Kijichi wakishangaa maiti za watoto zilizopakizwa katika gari la Polisi ili kwenda kuhifadhiwa Hospitalini |
Kipande cha Barabara ya Mtoni Kijichi ikiwa nayo imeharibiwa vibaya kutokana na mvua hizo |
Mjumbe wa nyumba kumi Tosi Tosi akisema wako tayari kuhama iwapo watapewa viwanja |
No comments:
Post a Comment