Kikundi cha watu wakiimba nyimbo za maombolezo katika viwanja vya Leaders Club |
Mama wa marehemu Kanumba akisindikizwa kwenda kuuaga mwili wa mwanaye kwa mara ya mwisho katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam |
Mdogo wa Steven Kanumba akisindikizwa kuuaga mwili wa kaka yake marehemu Steven Kanumba |
No comments:
Post a Comment