Wafuasi wa Chama cha Mapinduzi wakifurahia mara baada ya Mbunge wao Dk. Makongoro Mahanga kushinda kesi ya uchaguzi
Mbunge wa CCM jimbo la Segerea Dk. Makongoro Mahanga akizungumza mara baada ya kushinda katika kesi ya uchaguzi iliyokuwa ikimkabili. Fred Mpendazoe ambaye ni mwanachama wa Chadema ameshindwa katika kesi hiyo
No comments:
Post a Comment