Wafuasi wa Chadema waandamana kupinga ushindi wa Mahanga katika kesi ya uchaguzi
Wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiandamana baada ya mgombea wa Chama hicho Fred Mpendazoe kushindwa katika kesi ya uchaguzi. Mbunge wa Segerea Dk. Makongoro Mahanga ndiye aliyeibuka na ushindi
Wafuasi wa Chadema wakielekea Makao Makuu ya CCM huku wakiimba nyimbo zao kupinga CCM baada ya kushindwa katika kesi ya uchaguzi.
No comments:
Post a Comment