Tafiti zinaonyesha kuwa wazalishaji wakubwa wa mazao ya biashara ni wanaume na wanawake ni wazalishaji wakubwa wa mazao ya chakula, licha ya wanawake kuzalisha chakula kwa wingi tafiti zinaonyesha kuwa bado ni maskini unafikiri ni kwanini wanaonekana ni maskini? Nini maoni yako? |
No comments:
Post a Comment