Mshauri wa Africa Media Initiative Wangethi Mwangi (wa kwanza kushoto), Mwenyekiti wa Chama Cha Wamiliki MOAT(katikati) Theofil Makunga na Katibu Mkuu wa MOAT Henry Muanika wakizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu uzinduzi wa mwongozo wa vyombo vya habari Africa utakaofanyika Mei 3,2012. |
|
No comments:
Post a Comment