Jaji Mkuu wa Tanzania Mohamed Chande |
Akizungumza wakati
wa hafla ya kuwaapisha mawakili hao iliyofanyika jijini Dar es Salaam, Jaji
Chande alisema idadi ya mawakili wa kujitegemea hapa nchini ni ndogo
ukilinganisha na nchi za Afrika Mashariki kama vile Kenya ambayo ina zaidi ya
mawakili 10,000 wa kujitegema.
Aliwaeleza mawakili
hao wasing’ang’ania kukaa Dar es Salaam
pekee kwa kuwa uwakilishi na huduma zao hazipo mjini tu bali zinahitajika hadi
mikoani na hata katika maeneo ya vijijini.
No comments:
Post a Comment