Mchungaji Dkt. Elia Shaban Mligo mtumishi wa Kanisa la Kiinjili la
Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kusini Njombe akizungumza wakati wa uzinduzi wa
Kitabu Kipya cha Utafiti kwa Lugha ya Kiswahili alichokiandika na kukiita
JIFUNZE UTAFITI: Mwongozo kuhusu Utafiti na Uandishi wa Ripoti yenye mantiki.
Kushoto ni Mchapishaji Mkumbo Mitula.
Source. Mo blog
No comments:
Post a Comment