Aliyekuwa
Balozi wa Italia Professa Costa Mahalu na Ofisa Tawala wake Grace Martini wameshinda
kesi iliyokuwa ikiwakabili dhidi ya serikali. Hukumu imetolewa katika Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Professa
Mahalu pamoja na Grace Martini walishtakiwa na serikali kwamba wamehujumu uchumi wa zaidi ya euro milioni mbili.
No comments:
Post a Comment