Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wakati akiwasili kwenye Ukumbi
wa Hoteli ya Kunduchi Beach, kufungua ramsi mkutano wa siku tatu wa
mwaka kuhusu Tafiti za sera na Maendeleo wa Repoa, ulioanza leo April 3,
2013 katika Hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam |
No comments:
Post a Comment