Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Richard Lyimo akimpa
pole mke wa marehemu Dkt. Sengondo Mvungi, Bi. Anna Mvungi wakati Wajumbe wa
Tume walipokwenda kumpa pole.
|
Rais Jakaya Kikwete akimpa pole mke wa marehemu Dkt. Sengondo Mvungi, Bi. Anna Mvungi alipokwenda kumpa pole nyumbani kwake Kibamba jijini Dar es Salaam. |
No comments:
Post a Comment