LIVERPOOL imepanda hadi nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England baada ya kuifunga mabao 3-2 Fulham usiku huu.
Kolo Toure alijifunga dakika ya nane kuipatia Fulham bao la kwanza na Richardson akaifungia timu hiyo bao la pili dakika ya 63.
Mabao
ya Liverpool yalifungwa na Daniel Sturridge dakika ya 41, Coutinho
dakika ya 40 na mkongwe Steven Gerrard dakika ya 90 kwa penalti.
Liverpool sasa imetimiza pointi 53 baada ya kucheza mechi 26 na inabaki nafasi ya nne.
No comments:
Post a Comment